KAGERA: KAGERA Regional Commissioner, Ms Fatma Mwasa, has urged farmers to use the ongoing rains effectively by ...
THE East African Community (EAC) has expressed its unwavering solidarity with Tanzania and other key stakeholders following ...
KABLA ya mchezo wa jana, kati ya Simba dhidi ya Fountain Gate, golikipa wa Wekundu wa Msimbazi, Moussa Camara, alikuwa amebakisha mechi mbili za kusimama langoni bila kuruhu bao ili kumfikia kipa bora ...
NINE people have died in a new outbreak of an ‘eye-bleeding’ Ebola-like virus, global health chiefs have warned.Marburg, one of ...
Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Bukoba imemhukumu adhabu ya kifungo cha miaka minne jela, Jacob Alphonce baada ya kumkuta na hatia ya kosa la mauaji bila kukusudia.
Wakazi wanne wa mkoa wa Kagera na Mwanza, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka 49 yakiwemo ya kutumia laini ya simu iliyosajiliwa kwa jina la ...
KIPIGO cha mabao 2-1 ilichopewa Namungo kutoka kwa Tabora United, kimemuamsha Kocha Juma Mgunda aliyesema ameona mwanga ambao akirekebisha kidogo tu mambo yatakuwa matamu kwa Wauaji hao wa Kusini.
DAR ES SALAAM: YOUNG Africans head coach, Sead Ramović, credited his team’s 4-0 victory over Kagera Sugar to their players’ discipline, which stemmed from a week-long training regimen aimed at ...